MABINGWA ZU WATUA NYUMBANI NA KUPATA BONGE LA MAPOKEZI

Mabingwa wa Mashindano ya Vyuo Vikuu Tanzania maarufu TUSA, Chuo cha Zanzibar University (ZU) wamerejea nyumbani Zanzibar na kupokelewa kwa shangwe na wanafunzi wenzao pamoja na wapenzi wa soka wa Zanzibar.


ZU wamerejea wakitokea Mjini Dodoma siku chache baada ya kubeba ubingwa huo kwa kushinda 4-0 dhidi ya wapinzani wao Chuo cha St John cha Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE