MABINGWA ZU WATUA NYUMBANI NA KUPATA BONGE LA MAPOKEZI

Mabingwa wa Mashindano ya Vyuo Vikuu Tanzania maarufu TUSA, Chuo cha Zanzibar University (ZU) wamerejea nyumbani Zanzibar na kupokelewa kwa shangwe na wanafunzi wenzao pamoja na wapenzi wa soka wa Zanzibar.


ZU wamerejea wakitokea Mjini Dodoma siku chache baada ya kubeba ubingwa huo kwa kushinda 4-0 dhidi ya wapinzani wao Chuo cha St John cha Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS