ZANZIBAR YAONYESHA TENA KUWA KIWANDA CHA SOKA, LEO ZU YATWAA UBINGWA WA TUSA


Timu ya soka ya Chuo Kikuu cha Zanzibar University (ZU) imefanikiwa kutwaa kombe kwenye mashindano ya Vyuo Vikuu Tanzania (TUSA CUP) baada ya kuichapa Chuo cha St John cha Dodoma 4-0 mchezo iliopigwa huko Dodoma.

Mabao ya ZU yamefungwa na Said Bakar Said (Hat trick) na Mohd Maulid (Jaba).

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE