WA ETHIOPIA WATAKAOCHEZA NA ZIMAMOTO WAWASILI ZENJ


Wapinzani wa Zimamoto kwenye kombe la Shirikisho barani Afrika  Walaitta Dicha ya Ethiopia imewasili Zanzibar mchana wa leo ikijiandaa na mchezo wao siku ya Jumapili majira ya saa 10:00 za jioni katika uwanja wa Amaan.

Comments

Popular posts from this blog

WACHEZAJI WA 5 WA ZANZIBAR HEROES WAMEITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA TAIFA STARS KWAAJILI YA MICHEZO MIWILI YA KIMATAIFA YA KALENDA YA FIFA.

ZANZIBAR KARIBU WATAPATA UANACHAMA WA FIFA BAADA YA KUWA MWANACHAMA WA 55 WA CAF

JKU ACADEMY HAO WATANGULIA KWENDA ARUSHA KATIKA MASHINDANO YA ROLLING STONE