WA ETHIOPIA WATAKAOCHEZA NA ZIMAMOTO WAWASILI ZENJ


Wapinzani wa Zimamoto kwenye kombe la Shirikisho barani Afrika  Walaitta Dicha ya Ethiopia imewasili Zanzibar mchana wa leo ikijiandaa na mchezo wao siku ya Jumapili majira ya saa 10:00 za jioni katika uwanja wa Amaan.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS