ZTTA CHAKUTANA NA WADAU WAKE

Chama cha Mpira wa Meza Zanzibar (ZTTA), leo kimekutana na viongozi wa vilabu vya Unguja kwa lengo la kujadili mambo mbali mbali ya maendeleo ya mchezo huo Visiwani Zanzibar, kikao ambacho kimefanyika saa 3 asubuhi katika ukumbi wa skuli ya Hailesalas


Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS