JEMBE JENGINE KUTOKA ZANZIBAR RASMI AMETUA YANGA


Timu ya Yanga imemalizana rasmi na Mlinzi wa timu ya KMC, Ally Hamad Ally 'Kinibu' baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili.

Ally ambae aliwahi kucheza Gulioni FC ya Zanzibar kabla kwenda Stand United na msimu ulopita akiitumikia KMC.

Kusajiliwa kwa Ally Ally kunaifanya klabu ya Yanga kuwa na orodha kubwa ya Wachezaji kutokea Visiwani Zanzibar akiwemo kiungo pendwa Feisal Salum (Fei toto), Mohammed Issa (Moo Banka), Abdul Aziz Makame (Abui) na wengine wengi ambao wamemaliza mikataba msimu ulopita .

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS