IBRAHIM JEBA AMEFARIKI DUNIA

Ibrahim Rajab (Jeba) mchezaji wa zamani Mtibwa Sugar na Azam fc amefariki Dunia jioni ya leo Hospitali ya Mnazi Mmoja.
Ibrahim Jeba Mendieta msimu huu alikuwa ameshaanza mazoezi na timu yake ya Chuoni kwaajili ya kutumika tena kwenye ligi kuu Soka ya Zanzibar.
Maziko yatakuwa kesho saa 7 mchana nyumbani kwao Magomeni Mzalendo na kuzikwa Kijijini kwao Ndijani.
Mungu amsamehe makosa yake na amuingize pepon amin.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE MCHEZAJI MWENYE REKODI YA KUFUNGA MAGOLI MENGI KWENYE MECHI YA TAIFA DHIDI YA BOYS