WANAMICHEZO ZANZIBAR WAMZIKA IBRAHIM JEBA
Mamia ya Wananchi, Mashabiki na
Wapenda soka wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa mchezaji wa zamani wa
Azam Fc, Mtibwa Sugar na Chuoni Ibrahim Rajab Juma (Jeba) ambae amefariki jana
na kuzikwa leo Kijijini Kwao Ndijani Mseweni Mkoa wa Kusini Unguja.
Maziko hayo yalianzia nyumbani kwao
Magomeni Mzalendo na Kusaliwa Msikiti wa Maandalizi Magomeni Mpendae ambapo
ndugu jamaa na marafiki wa marehemu walijitokeza kwa wingi kwenye safari yake hiyo
mwisho.
Mchezaji huyo ambae pia aliwahi kucheza
timu ya Taifa ya
Marehemu Ibrahim Jeba ameacha Mke
mmoja.
Mungu amlaze mahala pema peponi amin.
Comments
Post a Comment